iqna

IQNA

Amir Ibragimov
Wanamichezo Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Mchezaji chipukizi wa akademia ya Soka ya klabu maarufu ya Manchester United nchini Uingereza amewavutia wengi baada ya klipu yake akiwa anasema Qur'ani Tukufu kuenea mitandaoni. Katika kilipu iliyosambazwa na kaka yake, Amir Ibragimov mwenye umri wa miaka 15 anaonekana akisoma sehemu ya Surah Al-Furqan ndani ya Kituo cha Trafford mjini Manchester nchini Uingereza
Habari ID: 3476715    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16